JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili -3

Katika makala mbili zilizotangulia, niliandika kuhusu hofu na mashaka walionayo baadhi ya magwiji wa lugha ya Kiswahili, katika matumizi na malezi ya lugha hiyo kutokana na Waswahili kuonesha wazi dalili za kuipa umuhimu lugha ya kigeni katika matumizi.

FIKRA YA HEKIMA

Bunge linapoteza hadhi, tusitarajie bajeti makini

Kuna kila dalili kuwa Mkutano wa Bunge unaoendelea sasa mjini Dodoma, hautapitisha bajeti inayojibu matatizo yanayowakabili wananchi kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

Kila Mtanzania atahiniwe

Kupata sifuri kwa asilimia 60 ya wanafunzi wa kidato cha nne mwaka jana, kusitufanye kushangaa kwamba watu hao wakoje. Kila mtu mzima wa Taifa hili ajiruhusu kusailiwa kuhusu yafuatayo:-

Wizara imegeuza shule za umma dampo la vitabu vibovu

Bunge la Uingereza kulipata kuwa na Mbunge aliyeitwa William Wilberforce. Kila aliposimama bungeni kuzungumza, alidai kuwa utumwa ukomeshwe. Ndipo sheria ya kukomesha utumwa katika makoloni ya Uingereza ikapitishwa mwaka 1807.

Teknolojia ya ‘Smart Card’ inayotumiwa NIDA yapongezwa

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imefaulu kuendesha kazi ya Vitambulisho vya Taifa kwa umakini mkubwa.

Miaka 49 ya Muungano, kero 13 zisizotatulika

Aprili 26, ni siku ya maadhimisho ya miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sherehe za maadhimisho haya zitafanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Saalam.

Sherehe hizo zinafanyika kukiwa na maswali kutoka kwa wananchi wa pande zote mbili, yanayohusu kero zinazoukabili Muungano huo.