JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nami naomba niushutumu Usalama wa Taifa

 

Desemba 6, 2011 kwenye toleo la kwanza la Gazeti JAMHURI, tuliweka bayana msimamo wetu juu ya masuala yanayolihusu Taifa letu.

MISITU & MAZINGIRA

Uharibifu misitu: Janga linaloiangamiza Tanzania (1)

Tanzania ilibahatika kuwa na hazina kubwa ya misitu ya asili karibu katika kila wilaya na mkoa. Takwimu za mwaka 1998 zinaonesha kuwa Tanzania Bara ilikuwa na hekta (ha) milioni 13 za misitu iliyohifadhiwa kisheria (ikiwa ni zaidi ya misitu 600 ya Serikali Kuu na misitu 200 ikimilikiwa na Serikali za Mitaa, yaani, Halmashauri za Wilaya.

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili – 4

“Hali yetu ya Kiswahili hivi sasa si nzuri. Kuna makosa mengi katika matumizi. Inaelekea ufundishwaji wa Kiswahili ni tatizo. Vipi Kiswahili kiwe tatizo wakati ni lugha ya msingi na Taifa? Taifa halijatoa umuhimu wa lugha ya Kiswahili, kifundishwe kuanzia shule za msingi hadi chuo kikuu. Lakini Kiswahili gani kifundishwe? Hata wanaojua Kiswahili wanakiharibu.”

Je, Mkristo akichinja ni haramu? – 4

Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya tatu ya makala haya. Leo tunakuletea sehemu ya nne. Endelea…

Moja ya madai ya Waislamu ni kwamba wao mbali ya kumwelekeza Qibla mnyama anayechinjwa, lakini pia ni lazima atajiwe jina la Mwenyezi Mungu.

Tukatae udini, ukabila nchini

Nchi yetu inapitia wakati mgumu. Udini umetamalaki kila kona. Zanzibar wanasema yao. Kanda ya Ziwa ndiyo usiseme. Mgogoro wa kuchinja umeibua mapya. Tayari Wakristo wana bucha zao, na hata wasio na bucha wanakusanyana wananunua ng’ombe wanachinja na kuuziana nyama kienyeji.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Chama hakitakiwi kufanya kazi za Serikali “Katika aina yoyote ya utawala wa kidemokrasia, Chama kinachoshika Serikali, hakitakiwi kufanya kazi za Serikali, na haifai kifanye vitendo kana kwamba ndicho Serikali.” Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius…