JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JWTZ wakiamua watamaliza ujangili

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imetaka bayana kwamba ujangili ni janga la kitaifa. Hatuhitaji mtaalamu wa utabiri aje kutoa kauli nyingine tofauti na hiyo.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Moyo wa kujitolea umefifia

“Moyo wa kujitolea umefifia mno. Katika hali kama hiyo ni vigumu sana kuwapata viongozi wenye moyo wa kuwatumikia wenzao.”

Mameno haya ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Utalii uzalishe ajira kwa wananchi

Sekta ya utalii inatajwa kuwa ya pili katika kuchangia pato la Taifa kutokana na fedha za kigeni, lakini pia  ina fursa nyingi zinazoweza kuzalisha ajira kwa watu wanaozunguka maeneo husika.

Jellah Mtagwa aibua huzuni bungeni

*Ameichezea Stars miaka 15, sasa yu hohe hahe

*Sura yake ilipamba stempu kwenye miaka ya 1980

*Azzan: Ngoja wafe… msome wasifu wao mrefu

Majibu ya Serikali kuhusu kutomsaidia Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Jellah Mtagwa, yamewaudhi baadhi ya wabunge.

TANAPA kununua ndege mbili za doria

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika kupambana na majangili, mwaka huu wa fedha wa 2013/2014 limepanga kununua ndege mbili za doria na magari 43, Bunge limeelezwa.

Twiga wawili wana thamani kuliko watoto 360,000?

Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje (Chadema), ameshangazwa na kilio kikubwa cha twiga bungeni ikilinganishwa na thamani ya watoto 360,000. Ifatayo ni kauli ya mbunge huyu neno kwa neno. Endelea…