JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Pinda mfukuze kazi Ndalichako

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi, wiki iliyopita amelitangazia Bunge uamuzi mgumu wa Serikali. Ametangaza kuwa Serikali sasa imeamua kufuta matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa 2012. Katika mtihani huo wanafunzi asilimia 65.5 walipata daraja sifuri.

Sisi Waafrika weusi tukoje? (4)

Nchini mwetu, licha ya kilio cha Baba wa Taifa kuacha ufahari na matumizi ya magari makubwa, lakini ukienda Mbezi Beach, au Jangwani Beach, au hata hapo Oysterbay, mtu unashangazwa na mijumba mikubwa ya watumishi wa umma yanavyoumuka kama uyoga vile.

Io wapi Simba Arena, ghorofa la kisasa Msimbazi?

 

Wakati uongozi wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya jijini Dar es Salaam unaingia madarakani Agosti 2009, ulitoa ahadi nyingi ambazo wanachama waliwaamini na kujenga imani nao.

Kada wa CCM jangili atajwa

Bunge limeambiwa kwamba kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohsin Abdallah Shein, ni mmoja wa majangili wa kimataifa wanaomaliza tembo hapa nchini.

Shein ametajwa na Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Peter Msigwa.

Bunduki zakwamishwa bandarini

*Zimeletwa na Wizara ya Maliasili

*TRA wakomaa wakidai kodi yao

*JWTZ waliliwa wadhibiti majangili

*Tembo kutoweka baada ya miaka 7

Wakati majangili wakielekea kumaliza wanyamapori nchini, Wizara ya Fedha kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imezuia shehena ya bunduki bandarini zilizoagizwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ajili ya kuimarisha Kikosi Dhidi ya Ujangili.

HOTUBA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MHESHIMIWA BALOZI KHAMIS SUEDI KAGASHEKI (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/2014

  • UTANGULIZI
  • Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba kutokana na Taarifa  ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iliyowasilishwa leo ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wake Mhe. James Daudi Lembeli (Mb.), Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili Makadirio na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake kwa mwaka 2013/14.