JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bunge lisifanyie mzaha matumizi ya fedha za rada

Nianze kwa kuwaomba kila mbunge anayetambua kuwa amechaguliwa na wanyonge na maskini wa Tanzania ili atetee maslahi yao na ya watoto wao, asome kwa makini makala haya kisha achukue hatua.

Serikali inajifariji kwa kufunika udhaifu wetu

Kwenye mtandao wa kijamii wa JF, ambao mimi ni mmoja wa wanachama wake, nimekutana na makala fupi, lakini yenye kuelimisha sana.

MiSITU & MAZINGIRA

Uharibifu misitu: Janga linaloiangamiza Tanzania-2

Je, tufanye nini kupunguza ukataji wa miti kwa ajili ya kutengeneza mkaa? Kwanza, walinzi wa misitu wakiwapo hasa katika misitu iliyohifadhiwa kisheria, wataweza kuzuia watu wasiingie na kufanya chochote.

Je, Mkristo akichinja ni haramu?-5

Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya nne ya makala haya yanayohoji usahihi juu ya nani anastahili kuchinja. Leo tunakuletea sehemu ya tano na ya mwisho ya makala haya. Endelea….

Ndivyo itakavyokuwa hata kwenye kitoweo kingine na serikali itakusanya kodi zake kwa uwazi zaidi kuliko ilivyo sasa ambapo huenda wengine wanachinjia nyumbani kwao kwa siri halafu wanapeleka maeneo ya biashara na  kuikosesha kodi serikali.

Lissu: Tume ya Katiba ni ulaji

*Asema wanatumbua fedha, watengewa fungu la Ukimwi

Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu, wiki iliyopita aliwasilisha bungeni maoni ya Kambi hiyo, na kueleza namna Tume ya Mabadiliko ya Katiba inavyofuja fedha.

Kiwanda cha Askofu chadaiwa kutiririsha sumu Geita

Kiwanda kidogo cha kuchenjua marudio ya madini ya dhahabu, kilichojengwa kwenye makazi ya watu katika Mtaa wa Kagera mjini Geita, mali ya Askofu wa Kanisa la Habari Njema la Geita, Triphone John, kimesababisha madhara yakiwamo ya kufa kwa mifugo.