JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mtanzania Mwenzangu, Yah: Madai ya Mei Mosi, sisi hatukuwa nayo?

Kuishi miaka mingi ni kuona mengi pia – lakini yanaweza kuwa mema ama machungu kama shubiri, lakini bado ni mambo muhimu katika mapito ya maisha ili kuweza kujifunza kila kitu. Nimejifunza mengi sana hadi leo.

Lissu: Tume ya Katiba ni ulaji

*Asema wanatumbua fedha, watengewa fungu la Ukimwi

Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu, wiki iliyopita aliwasilisha bungeni maoni ya Kambi hiyo, na kueleza namna Tume ya Mabadiliko ya Katiba inavyofuja fedha.

Bima: Mahakama imechukua milion 826

Shirika la Bima la Taifa (NIC) limetoa ufafanuzi wa malipo ya Sh milioni 826 kwa mdai wake, S & C Ginning Co. Limited. Mkurugenzi Mtendaji wa NIC, Justine Mwandu, amesema katika majibu ya maandishi kwa Gazeti la JAMHURI kuwa wamelipa fedha hizo kutekeleza amri halali ya Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara.

Tuwakubali Ili wakubalike

Vipaji vipo kila kona ya dunia, lakini ili kipaji kikue ni lazima kwanza kikubalike nyumbani kabla hakijakubaliwa ugenini. Kipaji hakipatikani shuleni, kipaji unazaliwa nacho na unakua na kutembea nacho, na ili kipaji kionekane na watu wengine unatakiwa ukioneshe.

FIKRA YA HEKIMA

Watanzania tujitambue zaidi

Kabla ya kuzungumzia mada tajwa hapo juu, nichukue nafasi hii kuwashukuru wasomaji waliotoa maoni na mitazamo yao mbalimbali, kuhusu makala niliyoyaandika wiki iliyopita, yaliyokuwa na kichwa cha habari “Godbless Lema acha kuwa ndivyo sivyo.”

Kombe la FA

 

Chelsea vs Manchester City nani mbabe?

Mashabiki wa kandanda kote dunia wana shauku ya kujua nini ataibuka mshindi kati ya Chelsea (The Blues) ya Stanford Bridge na Matajiri wa London Manchester City, wakati mafahali hao wa England watakapopepetana katika mchuano unaotarajiwa kuwa mkali wa kuwania Kombe la FA.