JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Masikini Msekwa

*TAKUKURU wajiandaa kumfikisha mahakamani muda wowote

*Anatuhumiwa kuendesha ufisadi wa kutisha Hifadhi ya Ngorongoro

*Dk. Hoseah asema wanakamilisha taratibu, yeye aeleza mshangao

Mtikisiko mkubwa utaikumba nchi muda wowote kuanzia sasa, baada ya kuwapo taarifa kuwa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) inajiandaa kumfikisha mahakamani mwanasiasa mkongwe, Pius Msekwa, kwa tuhuma za ufisadi.

KAULI ZA WASOMAJI

Serikali isiwadhulumu wastaafu

Ukweli ni kwamba ni laana kubwa kwa Serikali kudhulumu malipo ya fedha za wazee wastaafu, walioitumikia nchi hii katika nyanja mbalimbali.

Msomaji

* **

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Umaskini wa fikra mbaya sana

“Hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa mawazo (fikra), ni umaskini mbaya sana. Mtu mwenye akili akikwambia neno la kipumbavu ukalikubali, anakudharau.”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

***

Nchimbi, Kagasheki, Sendeka hamjafanikiwa kumtetea Kinana

 

Wiki iliyopita mjadala mzito uliotawala hapa nchini, ni taarifa au tuhuma zilizoibuliwa na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa. Mchungaji Msigwa amemtuhumu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kuwa anasafirisha pembe za tembo nje ya nchi.

Makali ya TBS yawatafunawenye viwanda feki

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limedhamiria kueneza uelewa, na kukuza matumizi ya viwango na kanuni za udhibiti wa ubora katika sekta za viwanda na biashara.

Uchumi ukikua, usiishie mifukoni mwa wabunge

 

Nimeishawahi kusema kwamba Watanzania tuna kumbukumbu dhaifu, kwa maana kwamba hatukumbuki jana na wala hatutaki kujua nini kitakachotokea kesho.