JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FIKRA YA HEKIMA

 

Polisi, Sumatra wanalea mawakala matapeli stendi ya mabasi Nyegezi  Ukifika kituo cha mabasi cha Nyegezi jijini Mwanza, huwezi kupinga malalamiko kuwa rushwa imenunua utendaji wa maofisa wa Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Udhibiti wa Vyombo vya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA).

FASIHI FASAHA

 

Watanzania tunakinyanyasa, tunakibeua Kiswahihi – 6

Katika makala iliyotangulia niliwagusa baadhi ya Waswahili wanaokinyanyasa Kiswahili, wakiwamo wabunge na wanasiasa. Leo nawatupia macho wafanyakazi katika taasisi na asasi mbalimbali ambazo watendaji wake ndiyo wanaokibeua Kiswahili.

Miundombinu duni inachangia umaskini

Miundombinu (Infrastructures) duni inachangia kukuza umaskini wetu. Watu wanazidi kuwa maskini kwa vile miundombinu iliyopo haileti unafuu wa kupunguza gharama za usafiri kwa abiria na mizigo. 

Dini kuondoa upotoshaji wa kuchinja wanyama

Viongozi wa dini nchini wamekubalina kutoa tafsiri ya kuchinja kwa waumini wao, kuondoa upotoshaji na kurejesha uelewano baina yao.

Sisi Waafrika weusi tukoje? (5)

Ili Waafrika weusi sisi tupate maendeleo katika nchi zetu, hatuna budi kujitafiti na kujitambua upungufu wetu wote. Upungufu wa kutamani kuwa kama Mzungu au Mwarabu haujaondoka katika fikra zetu ingawa wakoloni hawapo; lakini kwa mazoea yetu sisi Mzungu ni wa kuogopwa tu.

‘Watanzania tembeleeni hifadhi za taifa’

Watanzania wamehimizwa kujenga mazoea ya kutembelea Hifadhi za Taifa, kujionea vivutio vilivyopo na kujifunza mambo mbalimbali badala ya kusukuma jukumu hilo kwa wageni kutoka nchi za nje pekee.