JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tamasha la Siku ya Mkerewe kuanza Juni

Shirika la Kuboresha Mienendo na  Desturi kwa Ustawi (KUMIDEU) katika Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, linashirikiana na wadau mbalimbali kuandaa tamasha la Siku ya Mkerewe.

Serikali inachekea udini, maadui wanalifahamu

Najua wengi wameandika mada hii. Ni karibu wiki sasa tangu kutokea kwa ugaidi kule Arusha. Wengi wameibuka na mijadala yenye kusisitiza kuwa kilichotokea Arusha ni mwendelezo wa udini. Baadhi wamefika mahali wanasema wazi kuwa Serikali imetunga majina ya watuhumiwa.

Tumeamua kujiridhisha na fedha za ‘uongo’

Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa safu hii ya Anga za Uchumi na Biashara, ambayo haikuwa hewani kwa takribani wiki saba.

Uamuzi wa Pinda, kuua uhifadhi?

Uamuzi unaotarajiwa kutangazwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusu hatima ya Pori Tengefu la Loliondo, ndiyo utakaotoa mwelekeo wa uhifadhi nchini.

Takataka za serikali katika Elimu

 

*Dk. Kawambwa aliamua, sasa anamrushia mzigo Dk. Ndalichako

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Kikao cha magwiji 14 wa elimu kilichobariki utaratibu mpya wa matumizi ya viwango vya ufaulu katika Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita, uamuzi ulibadilika na kuonekana kama takataka katika jamii.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Uanachama CCM ni hiari

“Uanachama wa CCM ni wa hiari. Kuwa na kadi ya CCM si sharti la kupata kazi, au huduma ya umma, au leseni ya biashara, au haki yoyote ya raia wa Tanzania.”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.