JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wabunge wa CCM wameshindwa kazi?

Sina sababu yoyote ya kuwavunjia heshima wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Lakini katika enzi hizi za ukweli na uwazi sioni, sababu ya kusita kuzungumzia masuala nyeti kwa ukweli na uwazi. Lengo langu ni kuwaomba waone ugumu wa uchaguzi wa mwaka 2015.

Bila uwajibikaji Tanzania tutakwama (1)

Baada ya kusoma mengi katika magazeti na kuona kwenye runinga namna lile jengo la ghorofa 16 lilivyoporomoka, mimi, huenda na wengine wengi. tumeingiwa na wasiwasi.

Kashfa yamkumba Naibu Spika Ndugai

*Mwanamke ‘mgeni wake’ adaiwa kumpoka maelfu ya dola kitaalamu

*Yeye amgeuzia kibao mtumishi wa ndani, amsweka rumande siku saba

*Mtumishi wa ndani afukuzwa, aieleza JAMHURI kila kilichotokea

*Walinzi wawili wa kike wasimamishwa, mishahara, posho vyafyekwa

 

Kuna harufu ya kashfa dhidi ya Naibu Spika, Job Ndugai, ambaye ameibiwa dola 15,000 (Shilingi zaidi ya milioni 24), nyumbani kwake Area ‘D’ mjini Dodoma.

AMREF yajizatiti kuboresha afya ya mama na mtoto Simiyu

Dalili za kufikia mafanikio ya kuboresha afya ya kina mama na watoto katika Mkoa mpya wa Simiyu, zimezidi kuonekana baada ya Shirika la Tafiti na Dawa Afrika (AMREF) kuwakutanisha wadau huduma za afya.

Yah: Tuliangalie sakata la elimu kwa sasa [1]

Mwaka 1932 nilianza darasa la kwanza katika Shule ya Kati Bulongwa. Nilikuwa na miaka kumi na nne. Nilipata nafasi hiyo baada ya nenda rudi ya miaka miwili, mkono ulikuwa haufiki sikioni.

KAULI ZA WASOMAJI

Spika anachangia fujo bungeni

Fujo bungeni zinachangiwa na Spika Anne Makinda kutosimamia vizuri haki, kanuni na sheria za Bunge. Hataki wabunge wa kambi ya upinzani wawakosoe wabunge wa chama tawala. Hii haileti ladha.

Mdau wa JAMHURI, Dodoma