JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Stars tupeni raha Watanzania

Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) inatarajiwa kushuka dimbani Juni 8 mwaka huu, kucheza na Morocco katika mchezo wa kuwania kufuzu kushiriki Mashindano ya Kombe la Dunia 2014 yatakayopigwa nchini Brazil.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Chama kisilazimishe watu kukichangia fedha

“Kwamwe chama [cha siasa] kisitoze kodi, au ushuru, au malipo ya nguvu-nguvu kwa mtu yeyote, awe mwanachama au si mwanachama. Michango yoyote ya fedha inayotolewa kwa ajili ya shughuli za chama lazima itokane na ridhaa ya mtoaji mwenyewe.”

Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mbunge Geita adaiwa kuwatapeli walimu mil 11.3/-

Mbunge wa Geita, Donald Max (CCM), ameingia katika mgogoro na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Geita, akidaiwa kukitapeli Sh milioni 11.3.

WACHONGA VINYAGO MWENGE:

Hazina ya sanaa, utalii, utamaduni isiyovuma

*Wapo wanaoongozwa na mawingu kuchonga mashetani

*Wamarekani wapendelea ‘mashetani’, Waingereza ‘wanyama’

*Baadhi watumia ‘calculator’ kuwasiliana na wateja Wazungu

*Walilia soko la uhakika, waishutumu Serikali kuwapa kisogo

Umewahi kuzuru kituo cha wachongaji na wauzaji vinyago cha Mwenge, jijini Dar es Salaam? Kama bado, basi fanya hima ufike ujionee hazina ya sanaa, utalii na utamaduni wa Kitanzania iliyotamalaki, ingawa haivumi.

Biashara inahitaji ramani sahihi

Wiki iliyopita wakati nikiangalia taarifa ya habari katika moja ya vituo vya televisheni hapa Tanzania, nilikutana na habari kuhusu wakulima wa mpunga walioandamana hadi Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

Mtwara wanadanganywa, maadui wanajipenyeza

Nilidhani nimeandika kiasi cha kutosha katika mada hii, lakini kutokana na msukumo wa wasomaji wa safu hii, na watazamaji wa kipindi cha ‘Jicho la Habari’ kupitia Star TV, nilichoshiriki Jumamosi iliyopita, nimelazimika kuandika tena juu ya mada hii.