Latest Posts
Bunduki za mbunge zanaswa kwa ujangili
*Zakutwa kwa msaidizi wake, ahukumiwa miaka miwili
*Mwenyewe atoa shutuma nzito bungeni dhidi ya polisi
Bunduki tatu za Mbunge wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura, zimekamatwa kwa matukio ya ujangili katika Pori la Selous- Niassa, lililopo Tunduru -mpakani kwa Tanzania na Msumbiji.
TBS yaendelea kudhibiti bidhaa feki
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, amesema shirika hilo limeteketeza nondo tani 500 zenye thamani ya Sh bilioni 8, baada ya kubaini hazina ubora unaotakiwa kwa ajili ya matumizi ya ujenzi.
Siku za Ekelege TBS zahesabika
Wakati wowote kuanzia sasa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) aliyesimamishwa kazi mwaka mmoja uliopita, Charles Ekelege atapandishwa kizimbani kujibu tuhuma za rushwa na matumizi mabaya ya ofisi.
Yah: Tuliangalie sakata la elimu kwa sasa [2]
Wiki jana nilizungumzia juu ya elimu ya kambo wakati nikihitimisha barua yangu. Nilijaribu kuangalia tofauti za elimu ya sasa na ya zamani japokuwa hazipaswi kufananishwa kutokana na mitaala na manufaa baada ya masomo. Sisi tulifundishwa kujitambua na kujitegemea na ninyi kwa sasa mnafundishwa kutegemea na kutojitambua.
KAULI ZA WASOMAJI
Polisi iwakamate waliomuua Barlow
Ili Jeshi la Polisi liweze kujijengea hesima katika jamii, lioneshe makali yake katika kushughulikia mtandao wa mauaji ya RPC Liberatus Barlow, kufuatia maelezo yaliyotolewa na Malele.
Boniface Nyerere, Dar
RIPOTI MAALUMU
IGP Mwema ampa hifadhi ‘muuaji’ wa Barlow
*Apewa ulinzi wa polisi wenye silaha
*Anapewa huduma zote za kibinadamu
*Mbunge, Naibu Waziri wahusishwa ujangili
Kijana Mohamed Malele aliyejisalimisha kwenye vyombo vya ulinzi na usalama akijitambulisha kuwa mshirika wa mtandao uliohusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, amepewa ulinzi maalumu.