JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali mdaiwa sugu wa NHC

Kamati ya Bunge imeitaka Serikali ilipe deni la miezi 88 la Sh zaidi ya bilioni 3.145 inazodaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

Waziri: Benki zitambue Hatimiliki za Kimila

Serikali imezitaka benki ziwe tayari kupokea Hatimiliki za Kimila kwa ajili ya kuwasaidia wahusika kupata mikopo.

Tibaijuka apinga wananchi kupunjwa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewahimiza wananchi kudai fidia stahiki pale maeneo yao yanapotwaliwa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya umma.

Serikali: Ardhi ni ya Watanzania tu

*Yawaonya wageni waliojipenyeza kuimiliki kinyemela

Serikali imeendelea kuwapiga marufuku wageni kutoka mataifa jirani na Tanzania, kujipenyeza na kumiliki ardhi kinyemela hapa nchini.

FIKRA YA HEKIMA

 

Mbunge Nyimbo kanena,

Rais apewe kipaumbele

Hivi karibuni, Mbunge wa Viti Maalumu, Tauhida Cassian Nyimbo (CCM), alivishauri vyombo vya habari kujenga dhana ya kuzipatia kipaumbele habari za Kiongozi wa Nchi, Rais.

Bila ardhi masikini hawa watakwenda wapi?

Kabla ya kuendelea, niwapongeze viongozi wote wakuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Nampongeza mno Waziri Anna Tibaijuka, na Katibu Mkuu Patrick Rutabanzibwa (PR).