JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kada wa CCM awauzia Wazungu ardhi

Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee, juzi aliwasilisha hotuba yake bungeni na kueleza mambo mengi. Miongoni mwa hayo ni uporaji wa ardhi uliofanywa na kiongozi wa CCM. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba hiyo:

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Kujitolea muhimu kwenye chama

“Lakini chama chochote, hata chama cha michezo tu, lazima kiendeshwe na mashabiki kwa njia za kujitolea. Moyo wa kujitolea ukifa, chama hakiwi chama tena; kinakuwa ni chaka tu la mawindo ya kujitafutia mali.”

Maneno haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Ardhi itumike kuwawezesha Watanzania

Toleo la leo ni toleo maalum la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Bajeti ya wizara hii imeeleza mipango mingi mizuri yenye lengo la kutatua migogoro ya ardhi nchini na kuwapa Watanzania haki ya kumiliki ardhi.

King Majuto: Serikali inisaidie trekta

Hivi karibuni, gazeti la JAMHURI limefanya mahojiano na Amri Athumani, anayejulikana pia kama King Majuto. King Majuto amekuwa mwigizaji wa vichekesho kwa miaka 55 iliyopita. Mtanzania huyu mwenye umri wa miaka 65 anajivunia tasnia ya uigizaji, ila anaomba Serikali imsaidie trekta aweze kushiriki Kilimo Kwanza.

Kataeni zawadi ndogo ndogo za wawekezaji – Waziri

Serikali imewaomba wabunge waiunge mkono kwenye azma yake ya kuhakikisha utaratibu mpya wa kutoa ardhi kwa wawekezaji kwa misingi ya kugawana hisa kwenye Halmashauri za Vijiji unatekelezwa.

Uendelezaji Kigamboni upo palepale – Serikali

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imesema nia ya  kuendeleza Mji Mpya wa Kigamboni, ipo palepale.