JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FIKRA YA HEKIMA

Dalili mbaya CCM kuelekea 2015

Ni dhahiri kuwa sasa dalili mbaya zimeanza kuonekana ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, mwaka 2015.

FASIHI FASAHA

Haki, ukweli ni nguzo za amani

Tanzania inaelekea kupoteza sifa ya upendo, ukarimu na uzalendo kutokana na hulka ya baadhi ya viongozi hapa nchini kupuuza na kutupa uadilifu. Sababu za kufanya hivyo ni kuweka mbele nafsi, kujilimbikizia mali, kudhulumu na kupenda mno anasa.

Bila uwajibikaji Tanzania tutakwama (3)

 

Baada ya kuonesha mifano miwili hiyo kuhusu uwajibikaji ulivyokuwa katika nchi yetu enzi za Mwalimu, sasa turudi kwenye hali ya sasa ya kuporomoka kwa maghorofa hapa jijini Dar es Salaam.

 

Serikali yamkaanga raia wa Uswiss

. Yamnyang’anya umiliki wa ardhi aliyojipatia kinyemela

. Aliitumia kuuza viwanja kwa wageni kinyume cha sheria

. Raia wa Zimbabwe alishauziwa na kujenya nyumba

Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imemnyang’anya raia wa Uswiss umiliki wa ardhi mkoani Tanga.

 

Yah: Huu ndio utu tulioimba enzi zetu za ujamaa.

Niwape pole wale wote waliopata maswahibu mabaya huko Kusini mwa Tanzania kwa sababu ya matatizo ya gesi, kama ni kweli, lakini nadhani hiyo ni propaganda ya watu wajanja katika kuhitimisha fikra zao za kujinufaisha zaidi badala ya utu kwanza.

Serikali ifute utaratibu wa mikopo kwa wanafunzi

Jumamosi iliyopita nilikuwa katika kipindi cha Jicho la Habari kinachorushwa na Televisheni ya Star. Moja ya hoja nilizozizungumza ni kubadili utaratibu wa sasa jinsi mikopo inavyotolewa kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Binafsi nimejiridhisha pasipo shaka kuwa utaratibu huu umechangia kwa kiasi kikubwa kushusha kiwango cha elimu nchini.