JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Zelensky : Ukraine itapoteza vita ikiwa Marekani itapunguza ufadhili

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky aliiambia Fox News siku ya Jumanne kwamba Ukraine itapoteza vita ikiwa Washington, mfadhili wake mkuu wa kijeshi, ataondoa ufadhili. Kiongozi huyo wa Ukraine alisema itakuwa “hatari sana iwapo tutapoteza umoja barani Ulaya, na lililo muhimu…

DC Mgomi: Tumieni mikopo kwa matumizi lengwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe MKUU wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ametoa rai kwa vikundi vya maendeleo vilivyonufaika na mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri kuitumia mikopo hiyo kwa matumizi lengwa sambamba na kukumbuka kuirudisha ili kutoa nafasi…

Tuna mtaji wa imani ya Watanzania – Nchimbi

Azindua kampeni Mwanza akitamba na takwimu za kura za uhakika Awasihi wanaCCM kila mmoja kutafuta kura 10 kwa ajili ya ushindi wa kishindo Ahamasisha kampeni za nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu, isiachwe kura hata moja, wakiwemo wapinzani Awataka…