Latest Posts
Zelensky : Ukraine itapoteza vita ikiwa Marekani itapunguza ufadhili
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky aliiambia Fox News siku ya Jumanne kwamba Ukraine itapoteza vita ikiwa Washington, mfadhili wake mkuu wa kijeshi, ataondoa ufadhili. Kiongozi huyo wa Ukraine alisema itakuwa “hatari sana iwapo tutapoteza umoja barani Ulaya, na lililo muhimu…
DC Mgomi: Tumieni mikopo kwa matumizi lengwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe MKUU wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ametoa rai kwa vikundi vya maendeleo vilivyonufaika na mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri kuitumia mikopo hiyo kwa matumizi lengwa sambamba na kukumbuka kuirudisha ili kutoa nafasi…
Tuna mtaji wa imani ya Watanzania – Nchimbi
Azindua kampeni Mwanza akitamba na takwimu za kura za uhakika Awasihi wanaCCM kila mmoja kutafuta kura 10 kwa ajili ya ushindi wa kishindo Ahamasisha kampeni za nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu, isiachwe kura hata moja, wakiwemo wapinzani Awataka…