JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!

Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.

Waziri wa zamani aitahadharisha Serikali

*Asisitiza mgawo sawa wa rasilimali

Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige, ni Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii. Mei 25, mwaka huu alichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini. Pamoja na mambo mengine, aliitaka Serikali itoe mgawo stahiki wa mapato kwa maeneo yenye rasilimali. Anaamini mawazo yake yanaweza kuwa tiba kwa kuepusha nchi na machafuko kama yale yanayofukuta mkoani Mtwara. Ifuatayo ni hotuba yake, neno kwa neno.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa

“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

JWTZ kuleta amani DRC-Membe

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema anaamini kuwa msimamo na uamuzi wa kupeleka kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) utaleta amani ya kudumu nchini humo.

 

Bravo CHADEMA, CUF mmeonesha ukomavu

Wiki iliyopita, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) vilionesha ukomavu wa kisiasa.

Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari

 

Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.