Latest Posts
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
Mauaji ya Barlow wingu zito latanda
*Polisi wasema kijana aliyetaja mtandao ni mgonjwa wa akili
*Yeye asisitiza kuwa kichaa, analazimishwa dawa Muhimbili
*Ndugu waeleza historia, daktari anayemtibu aingia mitini
Jeshi la Polisi nchini limempeleka na kumlaza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, kijana Mohamed Malele, mshirika wa mtandao uliohusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, wakidai ni mgonjwa wa akili.
RPC ‘atumika’ kuchangisha rushwa
* Watendaji wadaiwa kutumia jina lake kula rushwa kwa walima bangi
* RPC Tarime/Rorya awaruka, DC asema dawa yao inachemka
Maofisa watendaji wa Kijiji cha Kwisarara na Kata ya Bumera wanatuhumiwa kutumia jina la Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) wa Kipolisi Tarime/Rorya kuchukua rushwa ya fedha kutoka kwa wakulima wa zao haramu la bangi.
Rage ni tatizo Simba-Kalimauganga
Mwenyekiti wa Friends of Simba, Mkoa wa Tabora, Sadiki Kalimauganga, amesema kuwa kufanya vibaya kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, katika Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika hivi karibuni, kunatokana na uongozi mbovu wa Ismael Aden Rage.
Diwani awaangukia wezi wa sola
Diwani wa kata ya Kisaka wilayani Serengeti, Chacha Togoche, ‘amewangukia’ wezi akiwaomba kutorudia kuiba sola katika zahanati ya kijiji cha Nyiboko.
Wabunge maslahi watalipeleka taifa msituni
Wiki iliyopita nilijizuia kuandika juu ya Bunge na wabunge wetu. Nilijizuia baada ya kusikiliza mjadala uliokuwa unaendelea bungeni, nikawasikiliza wabunge maslahi wanaochangia kwa nguvu hadi wanatokwa na povu midomoni, bila kulieleza Bunge sawa bin sawia kuwa maumivu waliyopata kwa wanahabari yanatokana na maovu yao.
- Rais Samia mgeni rasmi Tamasha la Utamaduni Songea, Rais Samia, Ndumbaro atembelea maonesho
- MIAKA 10 YA RSA: Mwakihaba atoa onyo kwa madereva wanaovunja sheria
- Rais Samia kuutembelea Mkoa Ruvuma, wananchi watakiwa kujitokeza kumpokea
- Bashe aleta tabasamu Namtumbo, awarejeshea hekta 3000 kwa wakulima
- Watanzania tuendelee kudumisha amani – Dk Biteko
Habari mpya
- Rais Samia mgeni rasmi Tamasha la Utamaduni Songea, Rais Samia, Ndumbaro atembelea maonesho
- MIAKA 10 YA RSA: Mwakihaba atoa onyo kwa madereva wanaovunja sheria
- Rais Samia kuutembelea Mkoa Ruvuma, wananchi watakiwa kujitokeza kumpokea
- Bashe aleta tabasamu Namtumbo, awarejeshea hekta 3000 kwa wakulima
- Watanzania tuendelee kudumisha amani – Dk Biteko
- Waziri Ndumbaro agawa vitabu vya kiada Songea Boys vya milioni 27.2
- TASSIM yaandaa maonyesho ya viwanda vidogo Dodoma
- Tanzania ya sita duniani kwa ongezeko la watalii
- Benki ya Akiba yazindua kampeni ‘Tupo Mtaani kwako’
- Vijana shikamaneni kulinda amani ya nchi yetu – Dk Biteko
- Waziri Ndumbaro awataka wazazi kukemea mmomonyoko wa maadili
- Tamasha la utamaduni kitaifa lafunguliwa Songea
- Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
- Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
- Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA