JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Julio: Kibadeni atafanya makubwa Simba

Kocha Msaidizi wa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Jumhuri Kiwelu ‘Julio’ amesema kuwa kuwapo kwa Kocha Mkuu mzawa katika timu hiyo, King Abdallah Kibadeni ‘Mputa’,  kutaiwezesha kufanya vizuri katika michuano ijao.

vVyombo vya dola visimchekee polisi huyu

Wiki iliyopita, Jeshi la Polisi lilimtia mbaroni mmoja wa askari wake, baada ya kumkuta akiwa na risasi 200 ambazo haijajulikana alikotaka kuzipeleka.

Polisi matatani tena

JESHI la Polisi limeingia matatani kwa kumtangaza ‘mbaya wao’ aliyeibua kile alichodai kwamba ni mtandao wa uhalifu na mauaji ndani ya Jeshi hilo mkoani Mwanza, kwamba ni kichaa.

Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)

Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.

Nakiona kifo cha Tanzania

*Naendelea kusimama kama Galileo Galilei

Mjadala unaoendelea sasa miongoni mwa Watanzania wengi, ni huu unaohusu Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyozinduliwa wiki iliyopita.

Wachina hufanya chochote wanachotaka

Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.