Latest Posts
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (3)
Wiki iliyopita, katika mfululizo wa makala haya, mwandishi alieleza namna Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alivyoshirikishwa na wazee wa Dar es Salaam na Bagamoyo katika masuala mbalimbali ya kulikomboa Taifa. Alikomea kwenye maelezo ya Mwalimu alivyoumwa kichwa, lakini akapona baada ya kufuturu nyumbani kwa Mzee Ramia. Endelea.
Haki, ukweli ni nguzo za amani (3)
Katika makala yaliyopita nilizungumzia ukweli kuwa nguzo mojawapo ya amani. Nilisema ukweli ni jambo ashrafu na ni nguvu moja ya amani. Watanzania hatuna budi kuelewa, kuthamini, kukumbuka na kutumia ukweli katika majadiliano na mazungumzo yetu, na wenzetu wa nchi za nje.
Watanzania wasaka kura BBA
Watanzania wanaoshiriki shindano la Big Brother Afrika (BBA) wanasaka kwa udi na uvumba kura za kuwawezesha kuendelea katika shindano hilo linalofanyika Johannesburg, Afrika Kusini.
RASIMU YA KATIBA MPYA 2013
Kimewaka
*Serikali ya Muungano kuwa na wizara nne
*Makao makuu ya Tanzania kuhamia Dar
* Tanganyika ni Dodoma , Wazanzibari wanalo
FikRA YA HEKIMA
Ulinzi wa wanyamapori liwe jukumu la kila mtu
Sekta ya utalii ina nafasi kubwa ya kuendelea kuinua uchumi wa taifa letu, ikiwa kila Mtanzania atawajibika kulinda rasilimali za wanyamapori na mazingira hai.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani (2)
Juma lililopita nilisema baadhi ya viongozi wa dini, siasa na Serikali pamoja na wananchi vibaraka ni vyanzo vya kuhatarisha uvunjifu wa amani nchini, kutokana na kuweka kando maadili na miiko ya uongozi na kutozingatia kauli ya Mwenyezi Mungu kuhusu haki, ukweli, uongo, upendo na ukarimu.