JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kasaka: Tanganyika imerejea, tukikosea Tanzania itafutika

Mwanasiasa mkongwe nchini, Njelu Kasaka, amezungumza na JAMHURI na kueleza alivyopokea rasimu ya mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Marekebisho ya Katiba. Kasaka alikuwa kiongozi la wabunge 55 mwaka 1993 lililojulikana kama G55 likishiriki kudai Serikali ya Tanganyika. Yafuatayo ni mahojiano kati ya Kasaka na JAMHURI. Endelea…

Vidonda vya tumbo na hatari zake (2)

Tumbo la mtu mzima lina urefu wa takriban inchi 10 (sentimeta 25) na linaweza kutanuka kwa urahisi kiasi cha kubeba robo lita ya (chakula). Chakula hukaa katika tumbo kwa karibu saa nne.

Sisi bodaboda wao wachukue madini

Wiki iliyopita niliandika maono yangu juu ya kifo cha Tanzania. Nimepata ujumbe wa maandishi na simu nyingi. Wapo walioniunga mkono, wengine wamenishambulia. Kwangu, yote ni heri, kwani hiyo ndiyo faida ya demokrasia na uhuru wa kutoa mawazo.

Kenya, Malawi zilivyolingana nguvu

Timu za soka za Malawi na Kenya, wiki iliyopita zilidhihirisha kulingana nguvu kwa kufungana mabao 2-2 mjini Blantyre, katika mechi ya kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia.

Serikali tatu ni utashi wa kisiasa

Gumzo la kudai kuwa na muundo wa Serikali tatu haukuanza leo. Kwa wafuatiliaji wa mambo ya historia watakumbuka sakata la madai ya kuwa na serikali tatu yaliyoongozwa na Mbunge machachari wa Lupa enzi hizo, Njelu Kasaka, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam chini ya kivuli cha kundi lililojiita G 55. Waziri Mkuu mstaafu John Malecela anakumbuka kilichomsibu.

Tuwe makini ugawaji mikoa, wilaya

Rais Jakaya Kikwete ametoa baraka za ugawaji Mkoa wa Mbeya ili ipatikane mikoa miwili.

Tayari ameshafanikisha uanzishaji mikoa minne ya Simiyu, Njombe, Katavi na Geita. Pamoja na mikoa hiyo, ameanzisha wilaya nyingi mpya.