JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watanzania wasaka kura BBA

Watanzania wanaoshiriki shindano la Big Brother Afrika (BBA) wanasaka kwa udi na uvumba kura za kuwawezesha kuendelea katika shindano hilo linalofanyika Johannesburg, Afrika Kusini.

RASIMU YA KATIBA MPYA 2013

Kimewaka

*Serikali ya Muungano kuwa na wizara nne

*Makao makuu ya Tanzania kuhamia Dar

* Tanganyika ni Dodoma , Wazanzibari wanalo

FikRA YA HEKIMA

Ulinzi wa wanyamapori  liwe jukumu la kila mtu

Sekta ya utalii ina nafasi kubwa ya kuendelea kuinua uchumi wa taifa letu, ikiwa kila Mtanzania atawajibika kulinda rasilimali za wanyamapori na mazingira hai.

FASIHI FASAHA

Haki, ukweli ni nguzo za amani (2)

Juma lililopita nilisema baadhi ya viongozi wa dini, siasa na Serikali pamoja na wananchi vibaraka ni vyanzo vya kuhatarisha uvunjifu wa amani nchini, kutokana na kuweka kando maadili na miiko ya uongozi na  kutozingatia kauli ya Mwenyezi Mungu kuhusu haki, ukweli, uongo, upendo na ukarimu.

Tatizo la Mtwara ni ubabe wa Serikali

Watu wengi wametia mikono yao magazetini kuandika habari za vurugu zilizoendelea kutokea Mtwara kuhusu suala la gesi.

Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (2)

 

Lakini udhaifu wa wazee wa nchi hii kwamba hatuna Chama cha Wazee wa Taifa hili. Napenda kutoa mawazo yangu juu ya upungufu huu wa aibu katika Taifa kongwe kama Tanzania.