JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Soka la Tanzania bado – Mwaisabula

Kocha mahiri wa soka nchini, Kenedy Mwaisabula ‘Mzazi’, amesema Tanzania bado ina safari ndefu ya kufikia mafaniko katika soka  kwa kulinganisha  na za Ulaya.

NYUFA KATIKA KUTA ZA POLISI

Baba wa Taifa, Mwalimu Juliua Kambarage Nyerere, aliliasa Taifa kuendelea kuchunguza kuwapo kwa nyufa na kuziziba zitokeapo katika kuta za ‘Nyumba’ ya Taifa.

Majangili watumia silaha za kivita

Matarajio ya kukiachia kizazi kijacho urithi wa rasilimali za wanyamapori, hasa tembo yanafifia nchini Tanzania .

Imani yako inaakisi fedha zako

 

Nafahamu kuwa wengi kama si wote, tunakubaliana kuwa fedha zina umuhimu mkubwa katika maisha ya mtu, tunachotofautiana ni imani kuhusu fedha.

 

Bajeti ya magari, bia, soda, sigara na simu ni hatari

Nasikitika kusema bajeti imenikatisha tamaa. Najua watu wengi wamekwishaizungumzia, najua wengi wameisifia. Wamesifia fedha zilizotengwa kwa ajili ya maji, umeme na reli. Ila mimi nimesikitika. Nimesikitika si kwa sababu nyingine, bali kuona imekuwa bajeti ya mazoea.

TBS inavyojizatiti kuitekeleza sheria mpya ya viwango

• Yapania kutowaonea haya wazalishaji na waingizaji wa bidhaa hafifu

Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1975, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limekuwa likiwahudumia wananchi na umma kwa ujumla katika kuhakikisha kwamba ni bidhaa bora tu ndizo zinazoingia sokoni. Hata hivyo, kwa miaka mingi, utendaji wa shirika hilo umekuwa ukikwamishwa kwa kukosekana nguvu za kisheria za kuwachukulia hatua wale wanaokiuka kanuni na taratibu za ubora. Katika makala haya, MWANDISHI WETU anabainisha jinsi shirika hilo lilivyojizatiti kuitekeleza ipasavyo Sheria mpya ya Viwango ili kuhakikisha kuwa soko la Tanzania linatawaliwa na bidhaa bora…