JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbunge Geita adaiwa kuwatapeli walimu mil 11.3/-

Mbunge wa Geita, Donald Max (CCM), ameingia katika mgogoro na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Geita, akidaiwa kukitapeli Sh milioni 11.3.

WACHONGA VINYAGO MWENGE:

Hazina ya sanaa, utalii, utamaduni isiyovuma

*Wapo wanaoongozwa na mawingu kuchonga mashetani

*Wamarekani wapendelea ‘mashetani’, Waingereza ‘wanyama’

*Baadhi watumia ‘calculator’ kuwasiliana na wateja Wazungu

*Walilia soko la uhakika, waishutumu Serikali kuwapa kisogo

Umewahi kuzuru kituo cha wachongaji na wauzaji vinyago cha Mwenge, jijini Dar es Salaam? Kama bado, basi fanya hima ufike ujionee hazina ya sanaa, utalii na utamaduni wa Kitanzania iliyotamalaki, ingawa haivumi.

Biashara inahitaji ramani sahihi

Wiki iliyopita wakati nikiangalia taarifa ya habari katika moja ya vituo vya televisheni hapa Tanzania, nilikutana na habari kuhusu wakulima wa mpunga walioandamana hadi Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

Mtwara wanadanganywa, maadui wanajipenyeza

Nilidhani nimeandika kiasi cha kutosha katika mada hii, lakini kutokana na msukumo wa wasomaji wa safu hii, na watazamaji wa kipindi cha ‘Jicho la Habari’ kupitia Star TV, nilichoshiriki Jumamosi iliyopita, nimelazimika kuandika tena juu ya mada hii.

Ni Bajeti ya Karne ya 22

*Asilimia 90 ya Bajeti ya Wizara zapelekwa kwenye maendeleo

*Wamarekani wamwaga mabilioni mengine kwenye MCC

*Mtwara, Lindi wapendelewa, kuunganisha umeme Sh 99,000

*Wizara yasisitiza ujenzi bomba kutoka Mtwara upo palepale

 

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesoma Bajeti ya wizara hiyo ya mwaka wa fedha wa 2013/2014 na kusema asilimia 90 ya fedha zinazoombwa ni kwa ajili ya maendeleo; na hivyo kuifanya kuwa ni maalumu kwa ajili ya kuiingiza Tanzania katika karne ya 22.

Vurugu zaua JWTZ 4 Mtwara

*Upuuzi, uhuni vyafanywa katika mitaa

*Kisingizio cha gesi chatumika kufanya uasi

*Nyumba ya Waziri, CCM, umma zateketezwa

 

Vifo vya watu kadhaa vimeripotiwa kutokea mkoani Mtwara vikisababishwa na vurugu za wananchi walioamua kuchoma mali za watu binafsi, umma na taasisi mbalimbali.