JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JAMHURI YA WAUNGWANA

Sisi tunaona ya kipuuzi, wenzetu wanayachukua

Kazi ya uandishi haina tofauti na kazi inayofanywa na makasisi na masheikh. Tangu nimeanza kushiriki ibada, nimeyasikia maneno yale yale yakirejewa makanisani, na kwa kweli ni hayo hayo yanayorejewa misikitini, na kadhalika.

FIKRA YA HEKIMA

Bravo Kikwete, lakini agizo lako lisilenge mahindi, Njombe pekee

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, anastahili pongezi kutokana na hatua yake ya kutengua msimamo wa muda mrefu wa Serikali kuwazuia wakulima kuuza mahindi nje ya nchi.

FASIHI FASAHA

Vyama vya upinzani bado ni vichanga? (1)

Mara kwa mara Watanzania huzungumzia juu ya vyama vya siasa, hasa vyama wanavyoviita vyama vya upinzani au vya ukingani. Mazungumzo hayo ni kuhusu sababu za kuanzishwa, shughuli zinazofanywa na malengo ya vyama hivyo.

Serikali isisaidie shule za watu binafsi

Wazo limetolewa la kuitaka Serikali isaidie shule za watu binafsi na tayari wazo hilo limeanza kupigiwa debe serikalini.

Yah: Utitiri wa vyombo vya habari na habari inayotolewa

Kuna wakati nakumbuka miaka yetu ya giza totoro la habari, kwamba habari ilikuwa ni kitu nyeti ambacho mwananchi alipaswa kujua kwa gharama ya muda au kwenda safari kuitafuta, leo habari unaipata mahala ulipo na unachagua unataka habari gani.

Taarifa rasmi ya Kambi ya Wanyamapoli bungeni

 

Mheshimiwa Spika, awali ya yote tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa Bunge lako tukufu kwa kutambua uwepo wetu hapa bungeni leo hii.