JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tibaijuka apinga wananchi kupunjwa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewahimiza wananchi kudai fidia stahiki pale maeneo yao yanapotwaliwa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya umma.

Serikali: Ardhi ni ya Watanzania tu

*Yawaonya wageni waliojipenyeza kuimiliki kinyemela

Serikali imeendelea kuwapiga marufuku wageni kutoka mataifa jirani na Tanzania, kujipenyeza na kumiliki ardhi kinyemela hapa nchini.

FIKRA YA HEKIMA

 

Mbunge Nyimbo kanena,

Rais apewe kipaumbele

Hivi karibuni, Mbunge wa Viti Maalumu, Tauhida Cassian Nyimbo (CCM), alivishauri vyombo vya habari kujenga dhana ya kuzipatia kipaumbele habari za Kiongozi wa Nchi, Rais.

Bila ardhi masikini hawa watakwenda wapi?

Kabla ya kuendelea, niwapongeze viongozi wote wakuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Nampongeza mno Waziri Anna Tibaijuka, na Katibu Mkuu Patrick Rutabanzibwa (PR).

Bunduki za mbunge zanaswa kwa ujangili

*Zakutwa kwa msaidizi wake, ahukumiwa miaka miwili

*Mwenyewe atoa shutuma nzito bungeni dhidi ya polisi

Bunduki tatu za Mbunge wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura, zimekamatwa kwa matukio ya ujangili katika Pori la Selous- Niassa, lililopo Tunduru -mpakani kwa Tanzania na Msumbiji.

TBS yaendelea kudhibiti bidhaa feki

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, amesema shirika hilo limeteketeza nondo tani 500 zenye thamani ya Sh bilioni 8, baada ya kubaini hazina ubora unaotakiwa kwa ajili ya matumizi ya ujenzi.