JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ardhi itumike kuwawezesha Watanzania

Toleo la leo ni toleo maalum la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Bajeti ya wizara hii imeeleza mipango mingi mizuri yenye lengo la kutatua migogoro ya ardhi nchini na kuwapa Watanzania haki ya kumiliki ardhi.

King Majuto: Serikali inisaidie trekta

Hivi karibuni, gazeti la JAMHURI limefanya mahojiano na Amri Athumani, anayejulikana pia kama King Majuto. King Majuto amekuwa mwigizaji wa vichekesho kwa miaka 55 iliyopita. Mtanzania huyu mwenye umri wa miaka 65 anajivunia tasnia ya uigizaji, ila anaomba Serikali imsaidie trekta aweze kushiriki Kilimo Kwanza.

Kataeni zawadi ndogo ndogo za wawekezaji – Waziri

Serikali imewaomba wabunge waiunge mkono kwenye azma yake ya kuhakikisha utaratibu mpya wa kutoa ardhi kwa wawekezaji kwa misingi ya kugawana hisa kwenye Halmashauri za Vijiji unatekelezwa.

Uendelezaji Kigamboni upo palepale – Serikali

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imesema nia ya  kuendeleza Mji Mpya wa Kigamboni, ipo palepale.

Serikali mdaiwa sugu wa NHC

Kamati ya Bunge imeitaka Serikali ilipe deni la miezi 88 la Sh zaidi ya bilioni 3.145 inazodaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

Waziri: Benki zitambue Hatimiliki za Kimila

Serikali imezitaka benki ziwe tayari kupokea Hatimiliki za Kimila kwa ajili ya kuwasaidia wahusika kupata mikopo.