JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yah: Bajeti ikusanyiwe maoni kama katiba

Nilikuwa nasikia kutoka kwa watu kwamba bajeti ni vilio kila kona, sikuelewa, kwa sababu bajeti si msiba ama majanga lakini nilipoipata baada ya hiyo digitali kunifikia, nimeona huo msiba ni wa aina gani.

KAULI ZA WASOMAJI

Gharama KCMC zinatisha

Serikali inajitahidi kuboresha huduma kwa wananchi wenye kipato cha chini, lakini baadhi ya hospitali haziko kwa ajili ya huduma za tiba ila ni biashara tu! Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu gharama za sasa za KCMC kama sio kufa kwa wagonjwa?

Mtanzania mzalendo, Moshi

UWASATA wasaka nguvu kusaidia yatima

Umoja wa Watuma Salamu Tanzania (UWASATA) unahitaji nguvu ya wahisani uweze kuongeza misaada kwa watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi nchini.

Tandala wakubwa waibeba Ruaha

Hakika kuamini ni kuona. Sikupata kuamini uwepo wa tandala wakubwa hapa Tanzania hadi siku nilipozuru Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (RUNAPA) na kujionea aina hiyo ya wanyamapori.

Rais + Makamu wawili = Kudumisha Muungano

Mpendwa msomaji, ni katika hali isiyo ya kawaida leo nimelazimika kuandika makala mbili katika Safu hii ya Sitanii. Nimechukua hatua hii kutokana na uzito wa hoja hizi mbili. Mwanzo niliwaza kuzichanganya, lakini nikaona kila moja ina uzito wa ina yake.

CHADEMA, CCM wana siri ya Arusha, Kibanda, Dk. Ulimboka

Mpendwa msomaji, leo najadili mada ya mwelekeo wa kisiasa katika nchi yetu. Nimeijadili mada hii kwa kina katika Kipindi cha ‘Jicho la Habari’ kinachorushwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi kati ya saa 1:30 na saa 3:00 asubuhi. Katika mjadala ule, nilijaribu kuangalia mustakabali wa taifa hili.