JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mashabiki wa upinzani wajitazame upya

Tanzania ya leo inafuata mfumo wa vyama vingi. Katikati ya mfumo wa vyama vingi Watanzania wamegawanyika katika makundi makuu matatu.

fikRA YA HEKIMA

Watanzania na imani potofu ziara ya Obama

Ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama, hapa Tanzania imenilazimu kuleta mada hii mapema tofauti na nilivyokusudia awali. Watanzania wengi wamezungumza ya moyoni mwao kuhusu ugeni huu.

Familia ya Barack Obama ni wanamichezo mahiri

Rais wa Marekani, Barack Obama, mke wake, Michelle, watoto wao, Malia na Natasha (Sasha) ni familia ya wanamichezo mahiri.

Barack Hussein Obama ni nani?

 

Barack Hussein Obama alizaliwa Agosti 4, 1961. Ni Rais wa 44 na Rais wa sasa wa Marekani. Ni Raia wa Marekani na Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika wadhifa huo. Pia ni mtu wa kwanza aliyezaliwa Hawaii kushika nafasi hiyo.

FASIHI FASAHA

Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4

Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.

Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa

*Kwenye orodha wamo majenerali wa JWTZ

*Mboma, Sayore, Yona, Chenge, Mgonja ndani

*AG akiri kazi ni ngumu, aomba waongezwe muda

*Asema mwanga muhimu umeanza kuonekana

Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza Watanzania walioficha fedha kwenye mabenki ughaibuni, imeshawahoji vigogo, wakiwamo mawaziri wa zamani, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa na wafanyabiashara maarufu.