JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tulichojifunza kutoka ziara ya Obama

Rais Barack Obama wa Marekani aliingia Tanzania Jumatatu Julai 1, mwaka huu, akaondoka Jumanne Julai 2. Mambo mengi yalitokea wakati wa ziara yake. Mengine ni mazuri tuyaendeleze, mengine ni mabaya tujisahihishe. Yote hayo ni mafunzo tuliyopata kutoka ziara ya rais huyu wa Marekani mwenye asili ya Afrika.

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Mahitaji ya wananchi yalindwe

“Lazima tuendelee kuhakikisha kwamba mahitaji ya msingi ya watu wote yanapatikana na yanalindwa. Lengo letu lazima liendelee kuwa kuinua hali ya maisha ya kila mtu, na kila mtu aweze kupata huduma za msingi za elimu na matibabu.”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mkutano Mkuu Simba kuamua hatima ya Rage

Mkutano Mkuu wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam unaotarajiwa kufanyika Julai 15, mwaka huu, jijini ndiyo utakaoamua iwapo Mwenyekiti wa timu hiyo, Ismael Aden Rage, ataendelea kushika wadhifa huo au la.

Iddi Simba lazima ashitakiwe upya

Ugeni mkubwa uliofika hapa nchini umeshaondoka. Ugeni huo ni wa Rais Barack Obama wa Marekani, Rais mstafu George W. Bush wa Marekani, marais zaidi ya 10 kutoka mataifa mbalimbali Afrika na duniani kwa jumla, pamoja na mawaziri waandamizi kutoka mataifa mbalimbali.

Hoja ni kutii sheria, si kufuta kauli

Hivi karibuni niliandika makala nikizungumzia kauli za wanasiasa na athari zake kwa umma. Nilizungumza kuhusu kauli zinazochochea vurugu, migongano na kuleta chuki na uvunjifu wa amani.

Mandela alifunguliwa milango ya gereza, akagoma kutoka

Ikiwa Mungu atapenda, maana hadi tunachapisha makala haya, Mzee wetu, mwana wa kweli wa Afrika, Nelson Rolihlahla Mandela maarufu kama Madiba, wa Afrika ya Kusini, Alhamisi wiki hii atatimizi miaka 95 ya kuzaliwa. Mandela anaumwa akisumbuliwa na ugonjwa wa maambukizi ya mapafu na amelazwa katika hospitali moja jijini Pretoria, nchini humo.