JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yapongeza Tabora Marathon

Serikali mkoani Tabora imepongeza mashindano ya Tabora Marathon kufanikiwa kwa kiasi kikubwa, na kuwa itakuwa bega kwa bega katika mashindano yajayo ya mwaka 2014.

KAULI ZA WASOMAJI

Gharama za maisha zinatuelemea

Tanzania tunakwenda wapi jamani, gharama za maisha zinapanda na kuongezeka kila kukicha, sasa tumeanza kutozwa kodi ya kulipia laini za simu za mkononi! Enyi viongozi tuliowapa dhamana tutazameni Watanzania kwa jicho la huruma.

Aziz Msafiri, Dodoma

0757 100079

Makinda anaelekea kufilisika, majeshi ya Chadema, CCM makaburi yetu 2015

Mpendwa msomaji, natumaini hujambo na unaendelea na shughuli zako za kila siku, huku wengine nikiamini kuwa mmepigika mifukoni sawa na mimi.

Afrika inaelekea kutawala uchumi wa dunia (2)

 

Nianze kwa kuomba radhi wasomaji kwa makosa ya kiuchapishaji katika kichwa cha makala haya sehemu ya kwanza: Afrika inaelekea kutawala uchumi wa Afrika (1), badala ya Afrika inaelekea kutawala uchumi wa dunia (1).

 

Funga ya Ramadhan, hukumu, fadhila, adabu zake

Utangulizi

Sifa zote njema zinamstahikia Allah (Subhaanahu wa Ta’ala) na sala na salamu zimfikie Mtume wake (Swalla Allahu alayhi Wasallam) pamoja na ndugu na maswahaba zake.

Hofu yatanda uwekezaji Kurasini

. Wanaohamishwa hawajui watakacholipwa

. RC Dar, diwani wawataka wavute subira

. Tibaijuka, Nagu watafutwa bila mafanikio

Hofu ya kuchakachuliwa fidia imetanda miongoni mwa wananchi wanaohamishwa kupisha ujenzi wa Kituo cha Uwekezaji cha Kimataifa katika Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam.

Mradi huo utajengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China katika eneo lenye ukubwa wa hekta 670 (sawa na ekari 1,675). Inaelezwa kuwa kiasi cha Sh bilioni 90.4 kimetengwa kugharimia ujenzi huo.