JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MISITU & MAZINGIRA

Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (Hitimisho)

Wiki iliyopita, Dk. Kilahama alianza kuainisha manufaa ambayo wananchi vijijini watapata kutokana na Mpango wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu Vijiji. Hii ni sehemu ya mwisho ya mfululizo wa makala ya ‘Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania’

Kardinali Pengo atoa ya moyoni

Wapendwa waamini, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, nanyi nyote ndugu zangu wenye mapenzi mema! Baada ya Mkutano Mkuu wa SECAM,  huko Kinshasa ambao pia ulihitimisha kipindi changu cha miaka sita na nusu kama Rais wa SECAM, napenda kuwaletea salamu za mkutano mkuu huo kwa kutafakri pamoja nanyi kipengele kimoja kati ya vingi vilivyozungumzwa katika mkutano huo: Wajibu wa Viongozi wa watu Barani Afrika kutekeleza haki kwa kila mwana nchi pasipo kukawia wala kusitasita.

Serikali yaahidi kusaidia JKT

 

Julai 10, mwaka huu, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, aliwaoongoza Watanzania katika maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), yaliyofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

 

JAMHURI YA WAUNGWANA

Mawazo yametuama kwenye bodaboda

Tanzania haikosi mambo yanayoibua mijadala. Tukimaliza moja, lazima litaibuka jingine. Tumekuwa Taifa la mijadala ambayo mingi haina tija.

Tanzania inapotea njia

Mwishoni mwa wiki zimetokea habari za kusikitisha. Mmiliki wa Kampuni ya Home Shopping Centre, Said Mohamed Saad, amemwagiwa tindikali usoni na sasa amepelekwa kwenye matibabu nchini Afrika Kusini.

Kilichoiangusha CCM Arusha

Uchaguzi wa madiwani uliofanyika mjini Arusha katikati ya mwezi huu, una haki ya kuwa fundisho kwa chama tawala CCM.