JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Muziki wa kizazi kipya na ubunifu hafifu

Sanaa ya muziki nchini Tanzania inakuwa siku hadi siku. Kuna viashiria fulani ambavyo kwa namna moja ama nyingine, vinaonesha ukuaji wa sanaa hii ambayo mojawapo ya kazi zake ni kuburudisha na kuelimisha.

Mikataba siri ya mafanikio Rwanda

 

Wakati maelfu ya wanafunzi Tanzania katika shule za msingi nchini wanakosa madawati na vitabu, nchini Rwanda nusu ya wanafunzi wanamiliki kompyuta mpakato.

Ajira ya vijana Chadema ni ‘ukomandoo’

Tangu nchi yetu iliporuhusu tena mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, imeendelea kushuhudia mengi – mazuri na mabaya. Ninamuomba Mungu aendelee kutuepusha na hayo mabaya.

Chikawe: Tume ya Katiba ipokee maoni, isijibu

Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe ameitaka Tume ya Mabadiliko ya Katiba kusikiliza zaidi maoni ya wananchi na kuyapokea badala ya kuyajibu kila yanapotolewa.

Utajiri wa Loliondo na laana yake (Hitimisho)

Sehemu iliyopita, Mwandishi Wetu alieleza Kamati iliyoundwa na CCM kuchunguza mgogoro wa Loliondo. Sehemu hii ya nne na ya mwisho, anaeleza ubatili wa Kamati ya Nchemba. Endelea…

Viwanda vyayumbisha korosho Mtwara

Viwanda 12 vya kubangua korosho nchini vilivyobinafsishwa na Serikali chini ya Rais Benjamin Mkapa hivi sasa vimegeuzwa maghala ya kuhifadhi mazao.