JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tunza sura yako ivutie

Kila mtu anapenda sura yake iwe laini, nyororo ya kung’aa. Wakati mwingine sura zetu huchakaa kutokana na mihangaiko ya hapa na pale. Zifuatazo ni hatua za awali za kutunza ngozi ya sura yako ionekane vizuri.

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Hatuwezi kuthibitisha wanaotusaidia

“Tunatambua kuna uwezekano kwamba hao wanaotusaidia wanaweza kuwa na nia tofauti. Hivi ndivyo tunaambiwa na hatuna uthibitisho kwamba haiko hivyo. Lakini tuna ushahidi wa mahitaji yetu na misaada ya vitendo.

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Alizaliwa Aprili 13, 1922 kijijini Butiama, Mara. Alifariki Oktoba 14, 1999 nchini Uingereza.

KAULI ZA WASOMAJI

Biashara vyuma chakavu imulikwe

Niliandika barua kwa Katibu Mkuu wa CCM kwamba biashara ya chuma chakavu inafanyika bila leseni, inakwepa kodi, inahujumu miundombinu, inahodhiwa na wageni, inatakatisha fedha chafu, lakini hatua hazijachukuliwa. Ninazidi kuomba chama tawala kitupie jicho kero hii. Haki na amani ni mapacha, na tanzania ni yetu sote.

 

H.Q. Batamuzi

0782 828 856

Ikulu inahangaika na neno SIRI, wezi wanashangilia!

Wiki iliyopita nimepata msukosuko. Haukuishia kwangu tu, bali hata wafanyakazi wenzangu – Edmund Mihale na Manyerere Jackton – nao yamewakuta sawa na yaliyonikuta mimi. Jumatano ya Julai 17, 2013 nilipokea simu ya wito kutoka Polisi Makao Makuu, Dar es Salaam.

Ustawi wako kiuchumi unategemea fikra yako

 

 

Watanzania (na wanadamu wengine duniani kote) nyakati hizi; tunaishi kwenye zama zenye misongo mikubwa ya kimaisha; kubwa likiwa ni tatizo la kiuchumi.

Rwanda: Kagame hakumtukana Kikwete

*Yawataka Watanzania kupuuza uvumi mitandaoni

Baada ya kuwapo joto kali la maneno ya kidiplomasia kutoka kwa maafisa wa Serikali za Tanzania na Rwanda kutokana na habari kwamba Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemtukana Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Serikali ya Rwanda sasa imetoa msimamo rasmi kukanusha tuhuma hizo.