JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baadhi ya madereva hawajui matumizi taa za barabarani

 

“Mara nyingi ninapoendesha gari katika mitaa ya Jiji la Arusha, nalazimika kutumia akili nyingi. Hadi naondoka mjini huwa ninahisi uchovu wa kufanya kazi nzito ya kutumia akili.”

 

Serikali yaahidi kusaidia JKT

Julai 10, mwaka huu, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, aliwaoongoza Watanzania katika maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), yaliyofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Halmashauri ya Geita yatafunwa

* Sh mil 763.8 zakwapuliwa kifisadi

* Mwenyekiti CCM Mkoa ahusishwa

* Waandishi wa habari wapata mgawo

Siku chache baada ya gazeti hili kuchapisha taarifa za nyaraka zinazoonesha Halmashauri ya Wilaya ya Geita ilipokea Sh bilioni 11.1 za kununua madawati lakini fedha hizo hazijulikani zilivyotumika, taarifa nyingine zimepatikana zikionesha ubadhirifu wa Sh zaidi ya milioni 763 katika halmashauri.

Tume ya Katiba inataka kutudhulumu?

Mhariri,

Mimi ninaitwa Issa Juma Dang’ada, ninaishi mjini Nzega, mkoani Tabora. Ni Mjumbe wa Baraza la Katiba Wilaya ya Nzega.

Mwandishi wa barua ile si Mwislamu

 

Mhariri,

Kero yangu ni kwamba ninapinga Barua ya Wasomaji iliyochapishwa kwenye gazeti hili wiki iliyopita. Barua ile imejaa uongo, unafiki na uzandiki. Waislamu wa leo si wa kupelekeshwa na media propaganda.

FRANCIS MBENNA:

Brigedia Jenerali (mstaafu) wa JWTZ anayetimiza umri wa miaka 83

* Atoboa siri ya mafanikio yake

Kesho ni siku muhimu kwa Brigedia Jenerali (mstaafu) Francis Xavier Mbenna, anayetimiza umri wa miaka 83 ya kuzaliwa. Mwanajeshi mstaafu huyu, mkazi wa jijini Dar es Salaam, alizaliwa Julai 31, 1930 huko Likese Masasi, mkoani Mtwara.