JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Askofu Malasusa: Wanaotaka urais tuwajue

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malalusa, amesisitiza umuhimu wa kulinda na kudumisha amani nchini, huku akihimiza mamlaka husika kuharakisha ufumbuzi wa migogoro iliyopo.

JAMHURI YA WAUNGWANA

Mhalifu anapopewa wiki 2 za kuharibu!

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jayaka Kikwete, ametangaza operesheni ya kuwaondoa wahamiaji haramu na majambazi katika mikoa ya Kagera na mingine nchini.

FASIHI FASAHA

Miaka 50 hakuna maendeleo! – 2

Wiki iliyopita katika makala haya nilikumbusha vitu vinne: Ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora jinsi vilivyoweza kuleta maendeleo ya nchi na watu katika elimu, afya, siasa na uchumi, pamoja na kujenga umoja na mshikamano wa Watanzania.

FIKRA YA HEKIMA

Viongozi hawa hawatufai

Wakati wa uongozi wa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, viongozi wengi wa serikali walijenga nidhamu na uwajibikaji kwa wananchi japo si kwa kiwango kikubwa. Wengi waliheshimu utumishi wa umma.

JK usizungumzie usalama wa nchi nyingine

Mheshimiwa Rais, awali ya yote hongera kwa hotuba yako ya mwisho wa mwezi maana ilijaa lugha tamu ya kidiplomasia inayoonesha namna ulivyo muungwana na usiyependa ugomvi au migogoro na nchi majirani zetu.

Tunahitaji ujasiriamali wa mnyororo

Wiki iliyopita wajasiriamali wawili marafiki zangu wa muda mrefu walinitembelea ofisini, mtaa wa Uhuru, mjini Iringa na tukapata wasaa wa kuzungumza kwa kirefu kuhusu mienendo ya biashara katika mazingira ya sasa.