JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mapambano dhidi ya wauza ‘unga’ ni mzaha mtupu

Nazungumzia Serikali inayoendesha mapambano dhidi ya dawa za kulevya. Nionavyo mimi ni mzaha mtupu. Ni sawa na kukumbuka kujifunika shuka wakati kumeshakucha.

FIKRA YA HEKIMA

Kilio cha wafanyakazi wa OSHA kisipuuzwe

Dalili mbaya zinanyemelea Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA). Kuna hatari ya ofisi hiyo kutokalika ikiwa mamlaka za juu zitaendelea kupuuza malalamiko ya wafanyakazi dhidi ya Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo ya serikali.

Kabantega: Mzalendo anayekabiliwa na kifo kama Dk. Masau

*Ni bingwa wa kutengeneza test tube aliyetelekezwa

*Miaka 27 sasa anapigwa danadana na wakubwa serikalini

*Mitambo, malighafi alivyozawadiwa vinaozea bandarini

*Mwalimu Nyerere, Rais Kikwete, Lowassa walimkubali

*Umoja wa Mataifa, AU, Sudan Kusini, Rwanda wanamlilia

Mwaka 2009 nilikutana na Mtanzania aliyenivutia kwa ubunifu, uwezo wake wa kiakili, na zaidi ya yote ni uzalendo wake kwa nchi yake. Nikamwomba na yeye akakubali kufanya mahojiano. Lengo lilikuwa kuwawezesha Watanzania, hasa watu wenye mamlaka ya uongozi waweze kumtambua, kumsaidia na kumtumia ili ndoto yake itimie.

CECILIA PETER: Mwanamke dereva jasiri wa bodaboda

* Akerwa na watekaji, waporaji wa pikipiki

Ni saa 11 jioni nawasili katika Kituo cha daladala cha Kibamba, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Ni umbali wa kilometa 30 kutoka katikati ya jiji hili. Hapa nakutana na mwanamke anayeitwa Cecelia Peter. Ninagundua haraka haraka kuwa mama huyu ni maarufu katika eneo hili na maeneo jirani.

BRN kuinua elimu nchini

Kiwango cha elimu Tanzania kinatarajiwa kupanda, baada ya Serikali kuzindua mpango wa kufanikisha Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now-BRN).

BARUA ZA WASOMAJi

 

Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji

Mheshimiwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, hongera kwa kazi, siwezi kukupa pole kwani kazi ni wajibu na kipimo cha mtu.