JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Asilimia 69 ya maduhuli yakusanywa ndani ya miezi 8

β€’ Watanzania 19,371 wapata ajira migodini β€’ Thamani ya mauzo migodini yafikia 91.68 Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma TUME ya Madini imefanikiwa kukusanya Shilingi 690, 763, 401,639.06 ndani ya miezi nane sawa na asilimia 69.08 ya lengo la mwaka wa…

Dk Biteko awataka wanawake kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia

πŸ“Œ Serikali kuwezesha Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia πŸ“Œ Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini πŸ“ŒAmpongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kwa kuunganisha watumishi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu…

Afrika tunayapa kipaumbele matumizi ya nishati safi kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi – Dk Biteko

πŸ“Œ Asema Sera na Sheria zinazowekwa zinahimiza matumizi ya Nishati Safi πŸ“Œ Afungua Mkutano wa Awali EAPCE’25 πŸ“Œ Ataka utumike kujadili na kuweka mipango itakayowezesha matumizi ya Nishati Safi πŸ“Œ Ataka mkazo kuwekwa kwenye Nishati Safi ya Kupikia kwani matumizi…

Tanzania yapokea faru weupe 17 kutoka Afrika Kusini

Na Kassim Nyaki, Ngorongoro Kreta, Arusha. Serikali kupitia wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya kwanza imepokea Faru weupe 17 kutoka kampuni ya AndBeyond ya nchini Afrika Kusini kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi, utafiti na elimu katika…

Tutende mema Ramadhani kuuishi Uislamu : Mwinyi

Na Mwandishi Maalum Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu kuutumia muda vema wakati huu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kufanya mambo mema yenye…

Makalla : Lissu namuhurumia, anaingia katika historia ya kwenda kuiua CHADEMA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema uchaguzi mkuu mwaka huu utafanyika kwa mujibu wa katiba na sheria kwani mabadiliko yameshafanyika, hivyo…