JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

BRN kuinua elimu nchini

Kiwango cha elimu Tanzania kinatarajiwa kupanda, baada ya Serikali kuzindua mpango wa kufanikisha Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now-BRN).

BARUA ZA WASOMAJi

 

Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji

Mheshimiwa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, hongera kwa kazi, siwezi kukupa pole kwani kazi ni wajibu na kipimo cha mtu.

Tarime wataja kinachowalazimu kukodisha ardhi kwa Wakenya

Wananchi wa Kata ya Bumera, Wilaya ya Tarime mkoani Mara, wametaja sababu mbalimbali zinazofanya kuwapo kwa wimbi kubwa la ukodishaji wa mashamba, kwa ajili ya kulima zao haramu la bangi kwa raia wa Kenya.

Ansar Sunni: Hatumtambui Sheikh Ponda

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waislamu wa Ansar Sunni, Sheikh Salim Abdulrahim Barahiyan, amesema jumuiya hiyo haina uhusiano na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Waislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda. “Mimi sijawahi kukaa na Sheikh Ponda katika kikao hata kimoja. Tuna misikiti karibu 20 Tanga, hajawahi kuingia hata msikiti mmoja,” amesema Sheikh Barahiyan.

Barua ya wazi kwa Waziri Mwakyembe

Mheshimiwa Waziri Dk. Harrison Mwakyembe, tunayo heshima kuchukua nafasi hii kukujulisha kuwa matrekta haya unayoyaona yamekwishalima sana na sasa hayawezi kazi hiyo tena. Ukiyafukuza mjini ni wazi hayatakwenda kulima, maana mengi hayana uwezo tena wa kufanya kazi hiyo.

FASIHI FASAHA

Tusizikwe tungali hai -1

Tusizikwe tungali hai. Nimeanza na kaulimbiu hiyo iliyobuniwa na kutumiwa na wastaafu wa iliyokuwa Radio Tanzania Dar es Salaam-(RTD)  sasa TBC.