Latest Posts
Waziri Ulega abariki pazia la shindano la Ladies First
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Ulega ameongoza ufunguzi wa msimu wa sita wa shindano la Ladies First. Ufunguzi wa shindano hilo umefanyika asubuhi ya leo katika uwanja wa Benjamin mkapa, Dar es…
Serikali kuendelea kuiwezesha kibajeti IRDP
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Lameck Nchemba amesema Serikali itaendelea kukiwezesha kibajeti Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) ili kiweze kuwa na miundombinu na rasilimali watu inayokidhi mahitaji ya utoaji wa elimu kwa viwango bora. Akizungumza kwa niaba ya…
‘Sera ziguse wananchi uchaguzi mitaa’
Wagombea wanawake wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, kipindi hiki cha kampeni wametakiwa kujikita kunadi sera zinazowagusa zaidi wananchi, namna ya kuzitatua na kushughulikia kero za sehemu husika Akizungumza wakati wa mafunzo ya kuwajengea…
Askofu Mameo aisifu Afrika kutoa marais wanawake
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Morogoro , Jacob Ole Mameo amewataka wanawake wa Umoja wa Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) kutumia nguvu waliyonayo kukemea wanaobeza jitihada zinazofanywa na baadhi ya wanawake walio katika nyadhifa…
Wanawake jamii za asili wakutana Arusha kujadili changamoto zao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Arusha Wanawake Jamii za Asili Nchini wanakutana jiji Arusha kujadili changamoto zao ikiwepo athari za mabadiliko ya Tabianchi. Wanawake hao kutoka jamii za wahadzabe, Wamasai, wabarbaigi,wadatoga na waakei wanasema mabadiliko ya tabia nchi yameleta ukame katika maeneo…