JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Vijana watakiwa kuchangamkia fursa sekta ya nishati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa zinazopatikana katika sekta ya nishati hapa nchini kwa kuwa sekta hiyo ina wigo mpana katika kuzalisha ajira kwa vijana sambamba na kutoa mchango mkubwa katika kukuza pato la Taifa. Akiongea wakati…

Michezo ya kamali marufuku Nigeria

Maafisa wa polisi wanaosimamia nidhamu katika dini ya Kiislamu kaskazini mwa Nigeria wanasema wataendeleza sera yao ya kufunga maduka yote ya kucheza kamari baada ya uamuzi wa mahakama kuhusu mchezi huo. Mahakama ya juu zaidi Ijumaa ilitupilia mbali sheria ya…

Chato msifanye makosa kuchagua vyama vingine – Dk Biteko

📌 Rais Samia Avunja Rekodi Miradi ya Maendeleo Chato 📌 Asema CCM Itabeba Vyote 📌 Kalemani Ataja Mabilioni ya Miradi Chato 📌 Asema CCM Inatekeleza Ahadi Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye…

Twende na kasi ya dunia ubunifu na ujasiriamali : Balozi Nchimbi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewataka wahitimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe kuendelea kuwa viongozi wa mabadiliko katika soko la ajira la Tanzania, wakienda sambamba na kasi ya…

CCM hatucheki na mtu katika kushika dola, tumejipanga – CPA Makalla

KATIBU wa Halmashauri Kuu ( NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo CPA Amoss Makalla amesema Chama hicho hakicheki na mtu katika kushika dola na katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu wamejipanga kuhakikisha…