Latest Posts
Pinda ataka usawa katika malezi kupinga ukatili wa kijinsia
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wazazi wote nchini kuwalea watoto kwa usawa bila ubaguzi ili kuepuka na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Naibu Waziri Pinda ametoa wito huo Novemba 23, 2024 alipokuwa…
Kapinga aendelea na mchakamchaka kuhamasisha kushiriki uchaguzi Serikali za Mitaa
📌 Baada ya Namtumbo, aingia Mbinga Vijijini 📌 Ataka Wananchi kujitokeza kwa wingi Novemba 27, 2024 📌 Asema Kura ziende CCM; Ndiyo chimbuko la Viongozi Bora; Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbinga Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM) ambaye pia ni…
Ushiriki wa Rais Samia G20 wainufaisha Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Rio de Janeiro, Brazil Ushiriki wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa G20 uliofanyika hapa Rio de Janeiro, Brazil na kuhusisha nchi tajiri 19 duniani, Umoja wa Ulaya (EU) na Umoja wa Afrika (AU), umekuwa wa…
TPA kuwapunguzia gharama za uhifadhi mizigo wahanga janga la ghorofa Kariakoo
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) itawapunguzia gharama za uhifadhi (storage fee) mizigo wahanga wa jengo la ghorofa liloporomoka katika soko Kariakoo, Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Novemba, 2024. Kaimu Mkurugenzi wa Bandari…
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa sekta ya nishati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa zinazopatikana katika sekta ya nishati hapa nchini kwa kuwa sekta hiyo ina wigo mpana katika kuzalisha ajira kwa vijana sambamba na kutoa mchango mkubwa katika kukuza pato la Taifa. Akiongea wakati…
Michezo ya kamali marufuku Nigeria
Maafisa wa polisi wanaosimamia nidhamu katika dini ya Kiislamu kaskazini mwa Nigeria wanasema wataendeleza sera yao ya kufunga maduka yote ya kucheza kamari baada ya uamuzi wa mahakama kuhusu mchezi huo. Mahakama ya juu zaidi Ijumaa ilitupilia mbali sheria ya…