JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Shambulizi la Israel Beirut laua watu 11

Mashambulizi ya anga ya Israel katikati mwa jiji la Beirut yamesababisha vifo vya takriban watu 11 na kuporomosha jengo la makazi huku Israel ikiendelea na kampeni yake ya anga dhidi ya Hezbollah. Shambulio hilo lilifuatiwa na mengine katika vitongoji vya…

Putin: Urusi itatumia kombora jipya katika vita

Urusi ina akiba ya makombora mapya yenye nguvu “tayari kutumika”, Rais Vladimir Putin amesema, siku moja baada ya nchi yake kurusha kombora jipya la masafa marefu katika mji wa Dnipro nchini Ukraine. Katika hotuba aliyoitoa katika runinga ambayo haijaratibiwa, kiongozi…

Mkurugenzi Manispaa Songea avishukuru vyombo vya habari

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea ambaye pia ni msimamizi wa uchaguzi katika Manispaa hiyo Bashir Muhoja amewashukuru waandishi wa habari kwa mchango wao mkubwa wa kupasha habari tangu kwa kuanza zoezi la uandikishaji na katika…

Pinda ataka usawa katika malezi kupinga ukatili wa kijinsia

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wazazi wote nchini kuwalea watoto kwa usawa bila ubaguzi ili kuepuka na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Naibu Waziri Pinda ametoa wito huo Novemba 23, 2024 alipokuwa…

Kapinga aendelea na mchakamchaka kuhamasisha kushiriki uchaguzi Serikali za Mitaa

📌 Baada ya Namtumbo, aingia Mbinga Vijijini 📌 Ataka Wananchi kujitokeza kwa wingi Novemba 27, 2024 📌 Asema Kura ziende CCM; Ndiyo chimbuko la Viongozi Bora; Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbinga Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM) ambaye pia ni…

Ushiriki wa Rais Samia G20 wainufaisha Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Rio de Janeiro, Brazil Ushiriki wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa G20 uliofanyika hapa Rio de Janeiro, Brazil na kuhusisha nchi tajiri 19 duniani, Umoja wa Ulaya (EU) na Umoja wa Afrika (AU), umekuwa wa…