JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Man. United ipo kazi mwaka huu

Tangu kuanza kwa Ligi Kuu England, Manchester United ilipata ushindi wa pili katika mchezo wake wa Jumamosi iliyiopita dhidi ya West Ham United.

Ufwiliku huu wa nini?

Septemba 18, mwaka huu wa 2014 historia ilijirudia katika nchi yetu hii. Nasema hivi kwa sababu Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA), Mheshimiwa Freeman Mbowe alitiwa msukosuko wa kihistoria.

MK Group ilivyotesa miaka ya 1990

Bendi ya MK Group ilikuwa maarufu kwenye miaka 1990, iliyokuwa imejikita kupiga muziki  katika hoteli za kitalii hapa nchini. Lakini kabla ya kuanzishwa kwake, kulikuwa na bendi ya mama, ya  African Stars iliyoanzishwa Julai 1, 1994, katika Hoteli ya  Bahari Beach Dar es Salaam.

Jifunze kuwa mteja bora

Mara nyingi tumekuwa tukieleza na kuwasisitiza wauzaji wawe na ukarimu kwa wateja (customer care), lakini tumekuwa tukiipuuza nafasi ya mteja katika kumsaidia muuzaji awe mkarimu kwake.

Unyonge wa Mwafrika – 2

Juma lililopita nilizungumzia kwa ufupi unyonge wa Mwafrika, ambao Mwalimu Julius Nyerere amesema unyonge huo uko wa aina mbili.  Unyonge wa kwanza amesema ni unyonge wa MOYO, unyonge wa ROHO.  Unyonge wa pili ni unyonge wa UMASKINI.

Yah: Tumalizeni, lakini kumbukeni wapigakura wenu

Sasa ni miaka kama kumi hivi tangu Serikali ilipotangaza ajira za vijana wapigakura na wenye uchu na maisha bora kama nafasi milioni moja, katika ajira hizo bila kufanya utafiti wa kina naweza nikasema robo tatu ya ajira hizo ni udereva wa pikipiki.