JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia ampongeza Alphonce kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania

Repost from @samia_suluhu_hassan•Pongezi za dhati kwa Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio ya Boston (Boston Marathon). Umefanya kazi nzuri. Ushindi wako ni matokeo ya kujituma kwa bidii, maandalizi mazuri, nidhamu yako kuanzia jeshini,…

Chuo kikuu cha Harvard chaushitaki utawala wa Trump

Chuo kikuu cha Harvard kimeushitaki utawala wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kuzuia ufadhili kutoka kwa serikali ya shirikisho. Chuo kikuu cha Harvard nchini Marekani kimeushitaki utawala wa rais Donald Trump katika mahakama ya shirikisho jana Jumatatu katika juhudi…

Mbunge Byabato ameiweza Bukoba

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Bukoba Julai 23, 2024 niliandika makala yenye kichwa cha habari kisemacho: “Rais Samia ana maamuzi magumu.” Makala hii niliiandika baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya…

Polisi, DCEA wakamata shehena ya bangi ikitoka Malawi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya JESHI la Polisi mkoani Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za kulevya (DCEA) wamekamata gari likiwa limebeba shehena ya dawa za kulevya aina ya bangi zikiletwa nchini kutoka Malawi. Kamanda wa…

ACT- Wazalendo yaguswa kifo cha Papa Francis

Chama cha ACT- Wazalendo kimepokea kwa huzuni na masikitiko kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis kilichotokea leo. Taarifa iliyotolewa na Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu imemuelezea Papa Francis kuwa alikuwa kiongozi mnyenyekevu aliyehubiri haki na kutafuta…

Papa alifariki kutokana na kiharusi na mshtuko wa moyo – Vatican

Kifo cha Papa Francis siku ya Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88 kimekuja baada ya kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki kukumbwa na matatizo kadhaa ya kiafya katika miaka ya hivi karibuni. Francis alifariki asubuhi Jumatatu katika makazi yake, Vatican…