Latest Posts
Mfuko wa Jimbo ni ukiukaji Katiba
Moja ya hukumu murua kabisa kutolewa na mahakama ya juu kabisa nchini Kenya hivi karibuni, inahusu Mfuko wa Jimbo kwa kutamka pasipo kumung’unya maneno kuwa ni haramu kwa mbunge kugeuka mtendaji wa fedha za umma. Majaji wa Mahakama ya Rufaa…
Maandiko ya Mwalimu Sehemu Maendeleo ni Kazi
Lakini kulipa ni jambo la lazima kabisa, hakuna kusema kwamba atapata madawa ya bure, madawa ya bure yanatoka wapi? Hatuwezi tukasali misikitini na makanisani, tukamwambia , Mwenyezi Mungu, eee, tuletee kwinini, hawezi kuleta kwinini. Sasa hilo ndilo jambo moja ninalitilia…
Hii Ndio Video ya Wimbo wa Nandy “KIVURUGE”
Msanii wa Bongo Fleva Kutoka THT, Nandy leo ameachia video ya wimbo wake wa Kivuruge na uliosimamiwa na Director Msafiri wa kwetu Studio. Dondosha coment yako chini ya Video hii
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Imekubali Maombi ya Zuio la Muda kwa Bodi ya Wadhamini ya CUF
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubali maombi ya zuio la muda kwa Bodi ya Wadhamini ya CUF inayomuunga mkono Mwenyekiti anayetambuliwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, Profesa Ibrahim Lipumba, katika shauri dogo namba 51/2017, lililowasilishwa…
Vanesa Mdee Kuachia Albam Yake ya Kwanza Chini ya Lebo ya Universal Music Group
Vanessa Mdee anatarajia kuachia albamu yake mpya mwakani chini ya Universal Music Group ambayo kwa sasa ndio wasimamizi wa kazi zake za muziki. Vee Money amesema baada ya kusaini mkataba huo sasa yuko tayari kuachia albam katikati mwakani na kwamba…
Mwaka 2018 Utakuwa wa Maajabu Tasnia ya Filamu Nchini.
Msanii wa filamu nchini Jacob Stephan Maarufu JB ametabiri kuwa tasnia ya Bongo Movie itafanya vizuri mwaka 2018 kutokana na maandalizi mazuri yaliyofanywa mwaka 2017. Muigizaji huyo mwenye vituko vingi, amedai wasanii wengi wamefanya maandalizi makubwa katika kufungua kampuni za…