Latest Posts
BALOZI WA VENEZUELA ATIMULIWA CANADA
Canada imetangaza kumfukuza balozi wa Venezuela Wilmer Barrientos Fernández Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni Chrystia Freeland alisema hatua hiyo ni jibu kwa kufukuzwa kwa mwanadiplomasia wake wa cheo cha juu kutoka Venezuela mwishoni mwa wiki. Venezuela iliilaumu Canada…
KAMA UMEGUSWA NA MTOTO HUYU MSAIDIE NA YEYE AENDE SHULE
Mtoto Msafiri Hassan ana umri wa miaka 12 mkazi wa Kitongoji cha Sanda Mkobani, Tarafa ya Mchinga, Lindi Vijijini ni mlemavu, hawezi kutembea hivyo anawaomba msaada wa kununuliwa kiti cha magurudumu ili aweze kwenda shule kama watoto wengine. Kama umeguswa…
TANZIA: MWANDISHI IDD SALUM MAMBI AMEFARIKI DUNIA
Aliyekuwa mpiga picha wa kituo cha runinga cha Azam, Iddi Mambo amefariki dunia baada ya kuugua ghafla. Msiba upo nyumbani kwao Kawe Ukwamani. “Innalillahi Wa Inna Ilaihi Rajiun”
Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 26, 2017
Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumanne Disemba, 26, 2017 nimekuekea hapa
PIGO: CHADEMA YAZIDI KUANGAMIA
Kwa lugha nyingine tunaweza kusema CHADEMA inazidi kuangamia kutokana na kinachoendelea ndani ya chama hicho kuondokewa na viongozi pamoja na wanachama wake kutimkia chama tawala CCM. Leo aliyekuwa M/kiti wa CHADEMA Wilaya Ngorongoro, Samweli Ole Nakumbale, aliyekuwa mgombea ubunge wa…
Hivi Ndio Viwango Vya Makato ya Kodi ya Mishahara ya Waajiriwa
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imefafanua kuhusu viwango vya kodi, anavyopaswa kukatwa mtu binafsi aliyeajiriwa. Akizungumza kwenye kipindi cha Kodi kwa Maendeleo kinachorushwa na Shirika la Utangazaji nchini (TBC1) wiki hii, Meneja wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa…