JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Prof. Kairuki Anaishi Baada ya Kifo

Na Mwandishi Wetu   Februari 6, mwaka 2018 ilitimia miaka 19 tangu Prof. Hubert Kairuki alipofariki dunia. Katika kipindi kama hicho, wapo maprofesa wengi waliofariki hapa nchini na nje ya nchi siku hiyo. Ni kwa bahati mbaya kuwa siku walipofariki…

Pingu Yaibua `Zengwe’ kwa Mtuhumiwa wa Mauaji Moshi

Na Charles Ndagulla,Moshi Hatua ya kutofungwa pingu kwa mmoja wa Wakurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Scolastica, Edward Shayo (63), anayetuhumiwa kwa mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo, Humphrey Makundi imezua utata na kuhojiwa na baadhi ya mahabusu wa…

Tanesco-Mbezi `Wanamtafuta’ Makonda

Serikali ya Rais John Magufuli imejidhihirisha kwa umma, kwamba azma yake ni kuhakikisha wananchi wanyonge wanapata huduma wanazozistahili bila ukiritimba. Kutokana na dhana hiyo, Mpita Njia anaamini kuwa raia hawapaswi kuombwa rushwa, ‘kuzungushwa’, kunyanyaswa ama kufanyiwa kitendo chochote kinachokiuka haki…

CCM, CHADEMA Jiandaeni Kisaokolojia

Wiki hii unafanyika uchaguzi mdogo katika majimbo ya Kinondoni, Dar es Salaam na Siha, Kilimanjaro. Uchaguzi huu umeitishwa kutokana na waliokuwa wabunge Godwin Mollel (CHADEMA) na Maulid Mtulia (CUF) kuhama vyama vyao wakajiunga na CCM baada ya kuvutiwa na utendaji…

Mauricio asema Kane ni ‘jembe’ la Spurs

Ushindi wa goli moja la Tottenham dhidi ya Arsenal wiki iliyopita, linamshawishi Meneja wa timu hiyo, Mauricio Pochettino kumtaja mfungaji wake, Harry Kane kuwa ni ‘jembe’ la sasa na baadaye kwa timu hiyo. Akitumia urefu wake, Kane aliiwezesha timu yake…

Jacob Zuma Apewa Masaa 48 Kung’atuka Madarakani

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amepewa saa 48 kujiuzulu, wadhfa wake huo. Kwa mujibu shirika la Utangazaji la Afrika Kusini -SABC- na vyanzo vingine vya habari, hatua hii inakuja baada ya mlolongo wa mazungumzo yaliyofanywa na chama tawala cha…