JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RC Chalamila wananchi jitokezeni kwa wingi kupiga kura Novemba 27, 2024

-Asema mkoa una jumla ya mitaa 564 ambayo itashiriki uchaguzi huo -Vituo vya kupiga kura katika mitaa vimeongezwa ili kuwafikia wananchi wengi zaidi. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa…

Waziri Kabudi azindua siku 16 za uarakati za kupinga ukatili Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Dalaam WAZIRI wa Sheria na Katiba Profesa Kabudi Palamagamba amezindua rasmi siku 16 za uanaharakati dhidi ya ukatili wa kijinsia wenye kauli mbiu ya kuelekea miaka 30 ya Beijing changua kutokomeza ukatili wa kijinsia….

Mamia wajitokeza huduma za uchunguzi wa macho Hospitali ya Mbagala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamia ya wakazi wa Mbagala iliyopo Manispaa ya Temeke, Jijini Dar es Slaam, jana wamejitokeza kwa wingi Hospitali ya Mbagala Rangi Tatu ili kufanyiwa uchunguzi wa macho unaofanywa na madaktari bingwa kutoka Hospitali…

Kumkamata Netanyau haitoshi lazima apate adhabu ya kifo – Iran

Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi wa Iran katika hotuba yake katika kikao na “Wanajeshi wa nchi nzima” alisema “Waranti ya kukamatwa kwa Netanyahu kwa uhalifu wa kivita haitoshi, ni lazima hukumu yake ya kifo itolewe.” Pia alisema: “Adui hajashinda huko Gaza…

Kesi ya Donald Trump yatupiliwa mbali na jaji wa mahakama

Huku hatua ya mwanasheria Jack Smith ya kufuta mashtaka ya kuingilia uchaguzi wa 2020 dhidi ya Donald Trump, moja ya vitisho vya mwisho vya kisheria vilivyosalia dhidi ya rais mteule imegeuka kuwa majivu na kupeperushwa na upepo. Smith pia anatupilia…