JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rushwa ni Wizi, Dawa Yake ni Uwazi

“Rushwa ni wizi wa fedha za umma”. Hivyo ndivyo Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania na kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki, Roeland van de Geer, anavyotaka Watanzania waielewe rushwa. Rushwa, kwa mujibu wa Balozi Geer, ni chanzo kikubwa cha…

WAKILI MSOMI PETER KIBATALA AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI

Peter Kibatala ambaye pia ni mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Mkurugenzi wa Sheria na Katiba Maendeleo (CHADEMA) amefiwa na mama yake mzazi Bi. Anna Mayunga ambaye amefariki jana.  

Pombe Hii Imekorogwa na Upinzani Wenyewe

  Kama kuna wakati viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamefaidi usingizi wa pono, itakuwa ni wakati huu. Kila kukicha tunasoma habari za kiongozi mmoja au mwingine akihama kutoka chama cha upinzani na kujiunga CCM. Wengi wao ni…

Barua ya Wana Moshi kwa Rais John Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli, barua yetu inahusu BOMOA BOMOA YA RAHCO KATIKA ENEO LA PASUA BLOCK JJJ ILIYOSABABISHWA NA MGONGANO WA MAMLAKA MBILI ZA SERIKALI. Mheshimiwa Rais, kwanza tunapenda tuchukue fursa hii…

Shikuba, Tiko Kizimbani USA

Anayedaiwa kuwa kinara wa kusambaza dawa za kulevya nchini, Ally Haji (Shikuba) na wenzake wawili, Lwitiko Adam (Tiko Tiko) na Iddy Mfuru wanatarajiwa kupandishwa kizimbani mapema wiki hii, jijini, Texas nchini Marekani. Taarifa za uhakika zilizolifikia JAMHURI zimeeleza kwamba Shikuba…

LWANDAMILA AMTETEA CHIRWA KWA MASHABIKI

Lwandamina amewataka mashabiki wa timu hiyo mambo ya kombe la Mapinduzi na kuangalia michuano inayowakabili mbele yao Kocha mkuu wa Yanga George Lwandamina, amemtetea mshambuliaji wa timu hiyo Obrey Chirwa, kuwa mkwaju wa penalti aliokosa ilikuwa na bahati mbaya na…